WAWILI KUWAHISHWA HOSPITALI WAKIWA
MAJERUHI
Watu wanne wameripotiwa kuuwawa asubuhi ya Jumatano baada ya ndege ya mizigo
kuanguka katika mtaa wa Utawala mjini Nairobi na kusababisha uharibifu wa
majengo mawilli kabla ya ndege hiyo kuanza kuwaka moto
Mbali na ndege hiyo kusababisha vifo vya watu wanne waliokuwa ndani ya ndege
hiyo akiwemo na rubani aliye kuwa akipaisha ndege hiyo chanzo cha habari
kinaeleza kuwa walio kuwa walinzi wa majengo mawili yaliyo haribiwa na ajali
hiyo nao ni majeruhi na wapo hospitali kwa matibabu. Benson Kibue ambaye ni mkuu
wa Polisi wa County ya Nairobi amesema ajali hiyo ilitokea majira ya saa kumi
alfajiri wakati ndege hiyo ya shirika la Skyward kuanguka na kuwaka moto.
Ajali hiyo ya ndege ya mizigo inayomilikiwa na shirika la Skyward, iliyokowa
ikisafirisha mzigo ilipata ajali muda mfupi baada ya kuruka kutoka uwanja wa
Kimataifa wa Kenyataa mjini Nairobi iliyo kuwa ikisafirisha Mirungi kutoka
Kenya kuelekea Mogadishu, Somalia ndiyo iliyo chukua uhai wa raia wanne akiwemo
rubani mmoja na kujeruhi walinzi wawili huko mjini Nairobi.
Thursday, July 10, 2014
WANNE WAUWAWA KATIKA AJALI YA NDEGE NAIROBI
By Blog Hi5 at 9:20 PM
No comments
Related Posts:
JE UMETOBOA SEHEMU ZA SIRI Wanawake wote walioamua kupamba sehemu zao za siri kwa kuzitoboa wanachukuliwa kuwa wamepitia ukatili wa kijinsia ama wamekeketwa kitengo cha afya kimetanabahisha hayo. Hata kama mtu huyo amefikia umri wa utu uzima … Read More
NEW AUDIO: FRIDAY FT PRINCE TOUZ_MA LOVE DOVE It is a brand new joint yenye chemistry ya hatari, Friday pamoja na Prince Touz a.k.a Prince Tanzania, yenye mahadhi flani ya RnB/HipHop iliyobeba ujumbe wa kimapenzi ambayo imepikwa ndani ya jiko la Worl Wide Records Dodom… Read More
MTUMISHI WA MUNGU AFUMANIWA NA MKE WA MTUOhoo, ama kweli dunia imekwisha! Mtumishi wa Mungu (Muinjilisti) ambaye kipindi chake cha dini kinarushwa katika kituo kimoja maarufu cha televisheni Bongo (Jina tunalihifadhi) aliyefahamika kwa jina la Fredrick Kishindo ‘… Read More
ANGELINA JOLIE, AFANYIWANUPASUAJI KUTOLEWA OVARI NA MIRIJA YA UZAZI … Read More
DIAMOND PLATNUM ATOA PICHA ZA MJENGO WAKEMaendeleo bila wivuu...! Haiwezekani, baada ya raia kutupa maneno kwa Raisi wa wasafi, Diamond Plutnum him self baada ya nyumba yake kusimama kwa ujenzi sasa aamua kuzidropisha kwa mtandao ili kufunga midomo ya wale waliokuwa… Read More
0 comments:
Post a Comment