• This is Slide 1 Title

    This is slide 1 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

  • This is Slide 2 Title

    This is slide 2 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

  • This is Slide 3 Title

    This is slide 3 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

Saturday, April 23, 2016

Watumishi HEWA Wakopa Mamilioni ya Pesa Benki; Kilimanjaro

Msako ulioanzishwa na Rais John Magufuli wa kutokomeza tatizo la wafanyakazi hewa katika utumishi wa umma, umeendelea kuibua mazito, ambapo mkoani Kilimanjaro, Benki ya CRDB imejikuta ikitoa mkopo kwa waliokuwa wafanyakazi hewa. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Hai, Helga Mchomvu aliyasema...

BAN KI-MOON AMBANA MACHAR KIREJEA JUBA

Katibu mkuu wa Umoja wa Mataifa Ban Ki-moon Ijumaa (22.04.2016) amemuwekea mbinyo zaidi kiongozi wa waasi nchini Sudan kusini Riek Machar kurejea mjini Juba "bila kuchelewa" na kuanza kazi katika serikali ya mpito. Kiongozi wa waasi Sudan kusini Riek Machar Machar alitarajiwa kurejea katika mji mkuu...

Siri ya herufi ya mwanzo ya Jina lako

Je Unajua Siri ya herufi ya mwanzo ya jina lako?. Soma hapa utaweza kuelewa Tabia zako au tabia za rafiki au mpenzi wako. >HERUFI A >Mwenye jina linaloanziana na herufi A ni mtu anayependa mambo makubwa, anajiamini na mwenye uwezo wa kutimiza malengo yake. Ni mtu mwenye tahadhari, mchangamfu na mpenda matukio. Anapenda Kuheshimiwa, anapenda Mamlaka, na ana kiburi, na hasira. Herufi A inawakilisha...

CANADA KUMTIA KIZUIZINI MWANAFUNZI WA SUDAN KUSINI

Wakuu wa Canada wanasema wamemuweka kizuizini mwanafunzi wa shule ya sekondari kutoka Sudan Kusini, kwa sababu wanaamini ana umri wa miaka 29 na siyo 16, kama aliyvodai alipoingia nchini. Jonathan Nicola anasemekana alikuwa mchezaji mzuri wa mpira wa kikapu, katika timu ya shule yake ilioko Windsor,...

MAKUBALIANO YA SYRIA MATATANI

Rais Barack Obama wa Marekani pamoja na mjumbe wa Umoja wa mataifa nchini Syria Staffan Di Mistura wamesema kuwa wanahofia kwamba makubaliano ya Syria huenda yakaanguka. Katika ghasia za hivi karibuni,watu 18 wamefariki kufuatia mashambulio ya serikali mjini Aleppo huku ndege moja ya kivita ya Syria...