Thursday, April 2, 2015

FRIDAY, PRINCE TOUZ KATIKA MAANDALIZI YA KICHUPA CHA MA LOVE DOVE

Wiki chache kupita baada ya moja ya muandishi wetu kutoka Hi5 Media huko Dodoma kufanikiwa kuwepo onset wakati Friday na Prince Touz wakiwa wanamulika kichupa cha Ma Love Dove alitujuza kuwa video hiyo itakuwa na ubora wa hali ya juu kulingana na maandalizi waliyoyafanya wasanii hao wawili.
Kushoto Friday kati Video Queen  Kulia Prince Touz               
Kwa mujibu wa muandishi wetu baada ya kufanya mahojiano na Prince Touz, "Kazi ni moja tu kuhakikisha mziki wetu unakwenda mbali zaidi na pia ni mda mrefu sana tulikuwa kimya sasa  ni Return of Friday na P Tanzania" alisema Prince Touz.
Prince Touz a.k.a Prince Tanzania akiwa kwa pouz
Friday moja kati ya Artist wanao fanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleiva sio tu DomTown even Tz mwenye radha ya pekee ila kwa mbali kama Bele flani ivi na ndie aliye pita zile radha flani za kuimba iv.....
Kulia Friday akiwa na moja kati ya wahusika katika Video
 Naam wadau wa muziki mkae tayari kupokea ujio mpya wa Friday na Prince Touz na huyu ndiye V.Q yaani Video Queen wa nyimbo ya Ma Love Dove
http://www.hulkshare.com/hi5music/friday-ft-prince-touz-ma-love-dove
Bofya hapa kusikiliza na kudownload nyimbo ya Ma Love Dove_Friday ft. Prince Touz

Related Posts:

  • MALI ZA PRINCE ZAHITAJI USIMAMIZI Nyota wa muziki wa Pop Prince hakuwacha wasia ,dadaake amefichua katika stakhabadhi za mahakama. Nakala zilizowasilishwa katika mahakama ya jimbo la Minnesota zinaonyesha,Tyka Nelson ametoa ombi la mtu atakayesimamia mal… Read More
  • POLISI ABAKA MWANAFUNZI Mwanafunzi wa kidato cha tatu, juzi alimkaanga askari polisi anayedaiwa kumbaka kwa kuieleza Mahakama jinsi alivyotendewa kitendo hicho katika kibanda cha ulinzi cha benki. Akitoa ushahidi mbele ya Hakimu wa Mahakama y… Read More
  • 3,551 WASAMEHEWA Rais John Magufuli ametoa msamaha kwa wafungwa 3,551, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya miaka 52 ya Muungano wa Tanzania. Taarifa iliyotolewa jana na Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani, Meja Jenerali Projest Rwegas… Read More
  • TAKUKURU Kuchunguza Mabilioni ya Kikwete ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imeanza kuchunguza fedha za uwezeshaji maarufu kama ‘Mabilioni ya JK’ ambazo hazikurejeshwa na wakopaji nchi nzima.  Msemaji wa Takukuru, Tunu Mleli alisema jan… Read More
  • TASAF: MAJINA HEWA MRADI WA KUOKOA KAYA MASIKINI Wananchi wamemkataa mwenyekiti wa kitongoji cha Mwanogi kijiji cha Bulima, Kata ya Nyashimo wilayani Busega katika Mkoa wa Simiyu, wakimtuhumu kuweka majina hewa katika mradi wa kuokoa kaya masikini unaosimamiwa na Mfuko … Read More

0 comments:

Post a Comment