
Hivi ndivyo jamii ya
kitanzania inavyo jilea maika ya sasa huku shutuma nyingi zikielekezwa katika
matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii pasi na kuchunguza nini chanzo ama
sababu kubwa inayo pelekea jamii yetu yakitanzania kusahau maadili yetu. Tuanze
na kujiuliza hivi ni kwanini maadili yana...