Game ya bongo inazidi kwenda next level kila kukicha
wasanii wapya wanaibuka ama kutoka kama wao wenyewe wanavyo sema, wa kuitwa Mo
Music Hit maker wa Basi Nenda aiteka hadhira kwa ngoma yake iliyo mpa umaarufu
sana na show za kutosha nchini hivi karibuni. Kwa upande wa Audio mtayarishaji
ame play part yake vyema na kumuweka kijana katika nafasi nzuri kimuziki lakini
kwa upande wa video si kama tunavyo mjua Adam Juma, ipo haja ya kuwatizamia
hawa wasanii wadogo wanapokuja na ngoma zao kali kufanya video kabla hawajatoka maana wasanii wakubwa
wanamiliki video kaliii laki Audio zao mbovu.. Wasanii wadogo wanapitia magumu mengi ikiwemo na kudharaulika kwa kazi wanazofana hadi wao wenyewe kulingana na dhamira iliyo jijenga kwa watayarishaji wengi wa Audio na Video pia kuamini kwamba masanii mpya asiyejulikana hana effect hata akitolewa kazi mbovu ubaya huja kwa watayarishaji wa video mbali na kujiharibia wanasababisha wasanii kuonekana hawajali kazi zao na watayarishaji huishia kusema undergound hawana mtonyo wa kutosha kufanya vichupa vikali.
Wednesday, July 9, 2014
ILIYO MTOA MO MUSIC-BASI NENDA VIDEO CHINI YA KIWANGO
By Blog Hi5 at 5:04 AM
2 comments
Related Posts:
BOMBA LA MAFUTA KUPATA UAMUZI MWISHONI MWA WIKIViongozi wa Kenya, Uganda na Tanzania mwishoni mwa wiki wanatarajiwa kutoa uamuzi wa mwisho kuhusu ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi kutoka Uganda na Kenya hadi pwani. Mwaka jana, Kenya na Uganda zilikuwa zinashauri… Read More
MADAWA HARAMU, E.P.LSerikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi wa dharura kufuatia ufichuzi kuwa wachezaji nyota wa kandanda nchini Uingereza wamekuwa wakitumia madawa yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini. Gazeti la Sunday Times limech… Read More
SERIKALI YAPONGEZWA NA SHIRIKISHO LA WAFANYAKAZI ZANZIBARSHIRIKISHO la Vyama Huru vya Wafanyakazi Zanzibar (ZATUC) limeelezea kuridhishwa na juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya kutekeleza mapendekezo yake, ikiwemo kuundwa kwa chombo cha majadiliano kitaif… Read More
MAKUBALIANO YA SYRIA MATATANIRais Barack Obama wa Marekani pamoja na mjumbe wa Umoja wa mataifa nchini Syria Staffan Di Mistura wamesema kuwa wanahofia kwamba makubaliano ya Syria huenda yakaanguka. Katika ghasia za hivi karibuni,watu 18 wamefariki kufua… Read More
WAPENZI JINSIA MOJA WATAHADHARISHWA UKSerikali ya Uingereza imewaonya wapenzi wa jinsia moja wanaosafiri kuelekea Marekani kutokana na sheria dhidi yao katika majimbo ya North Carolina and Mississippi. Marekani ni jamii kubwa ilio na maoni tofauti.Sheria mpya zil… Read More
Mi nadhani hawa wasanii hata ka ni wapya wanatakiwa wajiamini na kukosoa kama wameandaliwa chini ya kiwango
ReplyDeleteHata mbuyu ulianza kama mchicha
ReplyDelete