Wednesday, July 9, 2014

ILIYO MTOA MO MUSIC-BASI NENDA VIDEO CHINI YA KIWANGO



Game ya bongo inazidi kwenda next level kila kukicha wasanii wapya wanaibuka ama kutoka kama wao wenyewe wanavyo sema, wa kuitwa Mo Music Hit maker wa Basi Nenda aiteka hadhira kwa ngoma yake iliyo mpa umaarufu sana na show za kutosha nchini hivi karibuni. Kwa upande wa Audio mtayarishaji ame play part yake vyema na kumuweka kijana katika nafasi nzuri kimuziki lakini kwa upande wa video si kama tunavyo mjua Adam Juma, ipo haja ya kuwatizamia hawa wasanii wadogo wanapokuja na ngoma zao kali kufanya video  kabla hawajatoka maana wasanii wakubwa wanamiliki video kaliii laki Audio zao mbovu.. Wasanii wadogo wanapitia magumu mengi ikiwemo na kudharaulika kwa kazi wanazofana hadi wao wenyewe kulingana na dhamira iliyo jijenga kwa watayarishaji wengi wa Audio na Video pia kuamini kwamba masanii mpya asiyejulikana hana effect hata akitolewa kazi mbovu ubaya huja kwa watayarishaji wa video mbali na kujiharibia wanasababisha wasanii kuonekana hawajali kazi zao na watayarishaji huishia kusema undergound hawana mtonyo wa kutosha kufanya vichupa vikali.

Related Posts:

  • PICHA ZA NGONO MTANDAONI Pamoja na serikali kuweka sheria ambayo inadhibiti na kusimamia matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii bado kuna ongezeko kubwa la matumixi mabaya ya mitandao hiyo. Picha za utupu pamoja na zile zinazo onyesha viungo au… Read More
  • MKATABA WA LUGUMI WAJADILIWA BUNGENIHATIMAYE taarifa ya utekelezaji wa mkataba tata wa Kampuni ya Lugumi Enterprises, iliyoshinda zabuni mwaka 2011 ya kufunga mashine za kuchukua alama za vidole katika vituo vya Polisi vya wilaya nchi nzima kwa gharama ya Sh bi… Read More
  • MAJAMBAZI WAUA KWENYE TUKIO LA UPORAJI SUPPERMARKETWAKAZI wanne wa jijini Tanga wamekufa papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa kwa risasi na majambazi . Majambazi hao waliokuwa na bunduki aina ya SMG , walivamia juzi duka kuu (supermarket) la mfanyabiashara Hamoud Ali lililo… Read More
  • WEMA, IDRIS, UJAUZITO Kumekuwa na uvumi mkubwa kuwa Idris Sultan na Wema Sepetu wana uhusiano wa kimapenzi na pengine very soon wawili hao watamkaribisha duniani mtoto wao wa kwanza! Kama wewe ni miongoni mwa watu wanaompenda Idris ama Wema Sep… Read More
  • DONALD TRUMP AAHIDI KUJIBADILISHIA SIFAMgombea wa urais nchini Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican Donald Trump ameahidi kubadilisha sifa zake katika mkutano wa faragha na viongozi wa Republican. Mfanyibishara huyo ambaye yuko kifua mbele katika kuwania ur… Read More

2 comments:

  1. Mi nadhani hawa wasanii hata ka ni wapya wanatakiwa wajiamini na kukosoa kama wameandaliwa chini ya kiwango

    ReplyDelete
  2. Hata mbuyu ulianza kama mchicha

    ReplyDelete