Game ya bongo inazidi kwenda next level kila kukicha
wasanii wapya wanaibuka ama kutoka kama wao wenyewe wanavyo sema, wa kuitwa Mo
Music Hit maker wa Basi Nenda aiteka hadhira kwa ngoma yake iliyo mpa umaarufu
sana na show za kutosha nchini hivi karibuni. Kwa upande wa Audio mtayarishaji
ame play part yake vyema na kumuweka kijana katika nafasi nzuri kimuziki lakini
kwa upande wa video si kama tunavyo mjua Adam Juma, ipo haja ya kuwatizamia
hawa wasanii wadogo wanapokuja na ngoma zao kali kufanya video kabla hawajatoka maana wasanii wakubwa
wanamiliki video kaliii laki Audio zao mbovu.. Wasanii wadogo wanapitia magumu mengi ikiwemo na kudharaulika kwa kazi wanazofana hadi wao wenyewe kulingana na dhamira iliyo jijenga kwa watayarishaji wengi wa Audio na Video pia kuamini kwamba masanii mpya asiyejulikana hana effect hata akitolewa kazi mbovu ubaya huja kwa watayarishaji wa video mbali na kujiharibia wanasababisha wasanii kuonekana hawajali kazi zao na watayarishaji huishia kusema undergound hawana mtonyo wa kutosha kufanya vichupa vikali.
Wednesday, July 9, 2014
ILIYO MTOA MO MUSIC-BASI NENDA VIDEO CHINI YA KIWANGO
By Blog Hi5 at 5:04 AM
2 comments
Related Posts:
PICHA ZA NGONO MTANDAONI Pamoja na serikali kuweka sheria ambayo inadhibiti na kusimamia matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii bado kuna ongezeko kubwa la matumixi mabaya ya mitandao hiyo. Picha za utupu pamoja na zile zinazo onyesha viungo au… Read More
MKATABA WA LUGUMI WAJADILIWA BUNGENIHATIMAYE taarifa ya utekelezaji wa mkataba tata wa Kampuni ya Lugumi Enterprises, iliyoshinda zabuni mwaka 2011 ya kufunga mashine za kuchukua alama za vidole katika vituo vya Polisi vya wilaya nchi nzima kwa gharama ya Sh bi… Read More
MAJAMBAZI WAUA KWENYE TUKIO LA UPORAJI SUPPERMARKETWAKAZI wanne wa jijini Tanga wamekufa papo hapo na wengine wawili kujeruhiwa kwa risasi na majambazi . Majambazi hao waliokuwa na bunduki aina ya SMG , walivamia juzi duka kuu (supermarket) la mfanyabiashara Hamoud Ali lililo… Read More
WEMA, IDRIS, UJAUZITO Kumekuwa na uvumi mkubwa kuwa Idris Sultan na Wema Sepetu wana uhusiano wa kimapenzi na pengine very soon wawili hao watamkaribisha duniani mtoto wao wa kwanza! Kama wewe ni miongoni mwa watu wanaompenda Idris ama Wema Sep… Read More
DONALD TRUMP AAHIDI KUJIBADILISHIA SIFAMgombea wa urais nchini Marekani kwa tiketi ya chama cha Republican Donald Trump ameahidi kubadilisha sifa zake katika mkutano wa faragha na viongozi wa Republican. Mfanyibishara huyo ambaye yuko kifua mbele katika kuwania ur… Read More
Mi nadhani hawa wasanii hata ka ni wapya wanatakiwa wajiamini na kukosoa kama wameandaliwa chini ya kiwango
ReplyDeleteHata mbuyu ulianza kama mchicha
ReplyDelete