Tuesday, January 26, 2016
PICHA ZA NGONO MTANDAONI
By Blog Hi5 at 11:52 PM
No comments
Pamoja na serikali kuweka sheria ambayo inadhibiti na kusimamia matumizi sahihi ya mitandao ya kijamii bado kuna ongezeko kubwa la matumixi mabaya ya mitandao hiyo.
Picha za utupu pamoja na zile zinazo onyesha viungo au maeneo ya siri hasa kwa upande wa mabinti ndizo zimeongezeka zaidi ukilinganisha na kipindi ambacho sheria hizo hazijawekwa, hii inaweka hatari kwa kizazi kijacho kwa kuwa tayari udhibiti huu kwa sasa unaonekana kushindwa.
Related Posts:
UJUMBE WA WhatsApp WASABABISHA TALAKA Mwanamume mmoja nchini Saudia amempa talaka mkewe kutokana na ujumbe wake katika mtandao wa WhatsApp. Kulingana na gazeti moja la kiharibu Al Hayat, mwanamume huyo amedai kwamba mkewe aliandika ujumbe unaosema ''naomb… Read More
BWENI LA WATOTO WA KIKE LATEKETEA NA MOTO DAR Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
Je uliandika lini mwisho barua ya Mahaba ? Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
Blog Hi5: JXJ AKIFANYA YAKE KATIKA JUKWAA LA KONGWA AFRIKA P...Blog Hi5: JXJ AKIFANYA YAKE KATIKA JUKWAA LA KONGWA AFRIKA P...: Moja kati masaani wa Muziki wa Kizazi kipya anayefanya vizuri katika kazi zake ambaye yuko chini ya lebo ya DomTown Records JX, hapo akiwa...… Read More
MOJA KATI YA DEMONSTATION ZA VISUALIZED EFX … Read More
0 comments:
Post a Comment