Thursday, July 10, 2014
WEMA SEPETU, KAJALA MASANJA BIFF KUSHNEY!!
By Blog Hi5 at 3:21 AM
No comments
Muigizaji wa filamu nchini, Wema Sepetu, amesema amefurahi kurudiana ‘ushosti’ na muigizaji mwenzake, Kajala Masanja, Wema alisema pamoja na Kajala kumkosea ila amefurahi kuwa naye karibu kwani alikuwa anakwazika na hasa alipokuwa anasikia habari zake kwa watu wa karibu na Kajala.
“Nashukuru Mungu hili bifu limeisha kiukweli, nimefurahi sana kwani nilikuwa nakwazika kila nikipata habari za Kajala kwa watu wake wa karibu, kiukweli nimefurahi,” alisema Wema.
Wema Sepetu na Kajala walikuwa na bifu lililokuwa linadhaniwa haliwezi kumalizika hadi kufikia hatua ya kuundwa kwa makundi yanayodaiwa ya kiuchochezi baina yao.
Related Posts:
TWITTER YAMTIA NDANI MWANDISHI Polisi nchini Uturuki wamekamata mwandishi wa habari aliyemkosoa rais wa nchi hiyo kwenye mtandao wa kijamii wa Twitter. Ebru Umar raia wa Uholanzi alikamatwa na polisi baada ya kumkosoa rais Recep Tayyip Erdogan alikamatwa… Read More
NAPE AZINDUA TAMASHA LA KIMATAIFA LA FILAMU MJINI ARUSHA Waziri wa Habari,Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye akizungumza wakati wa uzinduzi wa tamasha la Kimataifa la Filamu la Tanzanite mkoani Arusha . Waziri Nape aliwaambia wadau na waigizaji wa Filamu wali… Read More
Wakenya kinara katika London Marathon Mwanariadha mkenya Eliud Kipchoge nusura avunje rekodi ya duniaya mbio za Marathon alipoandikisha muda wa kasi zaidi katika mbio za London Marathon. Kipchoge wa Kenya,alihifadhi taji aliloshindwa mwaka uliopita alipoandikish… Read More
Serikali ya China kudhibiti dini Chama cha kikoministi cha China kimepewa mamlaka ya kudhibiti dini nchini humo. Kiongozi wa Uchina, Xi Jinping, amesema makundi ya kidini lazima yakubali kudhibitiwa na chama cha kikoministi. Akizungumza katika mkutano wa s… Read More
UKIMYA WA UPINZANI BUNGENI MASHAKA KWA WASOMI UAMUZI wa Kambi ya Upinzani bungeni kuingia katika vikao vya Bunge na kugeuka bubu wakati wa mjadala wa Hotuba ya Ofisi ya Waziri Mkuu, umechukuliwa kwa hadhari kuwa unaweza kusababisha kambi hiyo ionekane inalinda posho bu… Read More
0 comments:
Post a Comment