Monday, September 1, 2014

BONGO MUVIE: KINARA MPYA SOKONI




Hivi karibuni Hi5 Media chini ya tawi la Video Production ya Akonshaz Music, Visualized EFX jijini Dar es Salaam waandaaji wa kazi mbalimbali zinazo jumuisha video ama vichupa kama lugha ya vijana wengi wengi wa kisasa wasemavyo wana tarajia kuangusha mzigo wa filamu fupi inayohusu maisha ya mtaa yalivyo. Akiongea na Bloger wetu muigizaji kinara katika filamu hii fupi Joeseph Kanyopa al maarufu kama Kanyo Mc azungumzia juu ya ujio wa kazi yake iliyo pewa jina la SADALI kwa mara ya kwanza katika tasnia ya filam Tanzania, licha ya kuwa ndiyo kazi yake ya kwanza kuifanya anategemea ushauri na mawazo chanya kutoka kwa wadau watakao pata kuiona filamu ya Sadali.


Bloger wetu pia alipata nafasi ya kuongeea na Director wa filamu hiyo ya Sadali pia ndiye Mkurugenzi wa Visualized EFX Creyz Beez kwa upande wake alizungumzia ugumu alioupata wakati wa kuiongoza filamu ya Sadali. “Kushuti filamu kunahitaji maandalizi marefu sana lakini sicho kilichofanyika katika filamu hii na imetokana na kwamba tulikuwa tunahitaji kuona katika upande wa filamu matatizo ni yapi mbali na hilo muandaaji wa script hakuwasilisha script so ili bidi tufanye kazi kutegemea story board, mengine ni ya kawaida tu msanii kukosea mara kwa mara, kuchelewa kufika Location  lakini kimefanyika kitu kizuri na ndio ujio wa Visualized EFX”. Kupitia Mtandao mpana wa Hi5 Media baada ya Filamu ya Sadali kutoa itapatika katika touvuti yetu ya YouTube, pia itapatikana katika blog yetu, nikuambie tu Visulized EFX imesha Anzisha kama wasemavyo Hi5 Media stay Tune.
 Picha hizi ni snap shot za baadhi ya scene zilizomo ndani ya filamu ya Sadali.

Related Posts:

  • SERA YA ELIMU BURE YATOLEWA UFAFANUZI Waziri wa Elimu, Sayansi, Teknolojia na Ufundi, Prof. Joyce Ndalichako, amewataka walimu na maafisa elimu kusimamia vyema majukumu yao na kuhakikisha utoaji elimu bora kwa wanafunzi ili kupata wataalamu watakaolisaidia ta… Read More
  • WATANO WAUWAWA MOROGORO KWA MAFURIKO WATU watano wamefariki dunia na wengine 13,933 kutoka kaya 3,095 wameathiriwa baada ya kutokea kwa mafuriko makubwa ya mvua zilizonyesha maeneo mbalimbali ya wilaya za Kilosa, Kilombero, Morogoro na Wilaya mpya ya Malinyi… Read More
  • Breaking News :Rais Magufuli Ateua Makatibu Tawala wa Mikoa 26 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli leo tarehe 25 Aprili, 2016 amefanya uteuzi wa Makatibu Tawala wa Mikoa 26 ya Tanzania Bara. Taarifa iliyotolewa leo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi John Ki… Read More
  • 89 HEWA WABAINIKA: WALIPWA ZAIDI YA BILIONI 1 Mkuu  wa Wilaya ya Kinondoni, Ally Hapi amesema idadi ya watumishi hewa katika wilaya hiyo, imeongezeka hadi kufikia 89 wakiwa wamesababisha hasara ya zaidi ya Sh bilioni moja. Aidha, Hapi amebaini uwepo wa wat… Read More
  • MAPENZI YAKATIZA UHAI WA MWANACHUO Mwanafunzi wa mwaka wa pili katika Chuo Kikuu cha Elimu (Duce), jijini Dar es Salaam, Bertha Mwarabu (23), ameuawa na mwanafunzi mwenzake kwa kuchomwa kisu kwenye titi na tumboni kwa kinachodaiwa ni kutokana na wivu wa mape… Read More

0 comments:

Post a Comment