R
Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiweka shada la mauwa kwenye kaburi la mashujaa Algeria Jumapili Mei 10, 2015...
-
This is Slide 1 Title
This is slide 1 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...
-
This is Slide 2 Title
This is slide 2 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...
-
This is Slide 3 Title
This is slide 3 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...
Sunday, May 10, 2015
POLISI HOI KWA KIPIGO, MBUNGE AKAMATWA
By Blog Hi5 at 9:39 PM
No comments
Loliondo. Polisi wawili, PC Isaack na PC Mabrouk wamejeruhiwa
baada ya kupigwa na vijana wanaodaiwa kuwa ni Wamasai (morani) katika
Kijiji cha Ololosokwani, Tarafa ya Loliondo wilayani Ngorongoro.
Tukio hilo pia limesababisha watu 25 kutiwa
nguvuni, akiwamo mbunge wa zamani wa Jimbo la Ngorongoro, Merthew ole
Timan na madiwani wawili.
Inadaiwa tukio hilo limetokana na kuchochewa na
uhasama...