• This is Slide 1 Title

    This is slide 1 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

  • This is Slide 2 Title

    This is slide 2 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

  • This is Slide 3 Title

    This is slide 3 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

Sunday, May 10, 2015

RAISI KIKWETE AWEKA SHADA LA MAUWA KABURI LA MASHUJAA ALGERIA

 R Raisi wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiweka shada la mauwa kwenye kaburi la mashujaa Algeria Jumapili Mei 10, 2015...

SHERIA YA MAKOSA YA JINAI YA MTANDAO YAANZA KUTUMIKA

...

POLISI HOI KWA KIPIGO, MBUNGE AKAMATWA

Loliondo. Polisi wawili, PC Isaack na PC Mabrouk wamejeruhiwa baada ya kupigwa na vijana wanaodaiwa kuwa ni Wamasai (morani) katika Kijiji cha Ololosokwani, Tarafa ya Loliondo wilayani Ngorongoro. Tukio hilo pia limesababisha watu 25 kutiwa nguvuni, akiwamo mbunge wa zamani wa Jimbo la Ngorongoro, Merthew ole Timan na madiwani wawili. Inadaiwa tukio hilo limetokana na kuchochewa na uhasama...