Thursday, July 10, 2014

49 WAUWAWA BAADA YA NDEGE YA UKRANE KUTUNGULIWA




Wizara ya ulinzi inasema ndege hiyo ilikuwa ikikaribia kutua katika uwanja wa ndege wa Luhansk, Maafisa wa Ukraine wanasema  watu wanaopigana kujitenga na kujiunga na  Russia, wametungua ndege ya uchukuzi ya kijeshi na kuuwa watu wote 49 waliokuwa ndani ya ndege hiyo. Ofisi ya mwendesha mashataka mkuu huko Ukraine, ilisema wanajeshi 40 na wafanyakazi tisa waliuawa mapema leo Jumamosi  baada ya ndege hiyo ya jeshi la angani la Ukraine kupigwa risasi na kuanguka. Wizara ya ulinzi inasema ndege hiyo ilikuwa ikikaribia kutua katika uwanja wa ndege wa Luhansk ilipopigwa risasi. Ukanda wa video  unaonyesha mlipuko mkubwa karibu na uwanja huo wa ndege, unaoaminika kutoka kwa ndege  hiyo.

Related Posts:

  • POLISI ABAKA MWANAFUNZI Mwanafunzi wa kidato cha tatu, juzi alimkaanga askari polisi anayedaiwa kumbaka kwa kuieleza Mahakama jinsi alivyotendewa kitendo hicho katika kibanda cha ulinzi cha benki. Akitoa ushahidi mbele ya Hakimu wa Mahakama y… Read More
  • Mkataba wa LugumiHii hapa ni taarifa ya Utekelezaji Ya Kamati Ndogo ya PAC Kuhusu Mkataba wa Lugumi … Read More
  • MALI ZA PRINCE ZAHITAJI USIMAMIZI Nyota wa muziki wa Pop Prince hakuwacha wasia ,dadaake amefichua katika stakhabadhi za mahakama. Nakala zilizowasilishwa katika mahakama ya jimbo la Minnesota zinaonyesha,Tyka Nelson ametoa ombi la mtu atakayesimamia mal… Read More
  • NAPE KUDILI NA MAJIPU KWENYE SANAA Waziri wa Habari,Utamaduni,sanaa na michezo nchini,Nape Nnauye ametaja mambo manne ambayo ni vikwazo ndani ya sekta ya sanaa ya filamu nchini na kuyaita kwamba ni majipu huku akisisistiza kwamba serikali itakwenda kutunga s… Read More
  • TAKUKURU Kuchunguza Mabilioni ya Kikwete ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imeanza kuchunguza fedha za uwezeshaji maarufu kama ‘Mabilioni ya JK’ ambazo hazikurejeshwa na wakopaji nchi nzima.  Msemaji wa Takukuru, Tunu Mleli alisema jan… Read More

0 comments:

Post a Comment