Wizara ya
ulinzi inasema ndege hiyo ilikuwa ikikaribia kutua katika uwanja wa ndege wa
Luhansk, Maafisa wa Ukraine wanasema watu wanaopigana kujitenga na
kujiunga na Russia, wametungua ndege ya uchukuzi ya kijeshi na kuuwa watu
wote 49 waliokuwa ndani ya ndege hiyo. Ofisi ya mwendesha mashataka mkuu huko
Ukraine, ilisema wanajeshi 40 na wafanyakazi tisa waliuawa mapema leo
Jumamosi baada ya ndege hiyo ya jeshi la angani la Ukraine kupigwa risasi
na kuanguka. Wizara ya ulinzi inasema ndege hiyo ilikuwa ikikaribia kutua
katika uwanja wa ndege wa Luhansk ilipopigwa risasi. Ukanda wa video
unaonyesha mlipuko mkubwa karibu na uwanja huo wa ndege, unaoaminika kutoka kwa
ndege hiyo.
Thursday, July 10, 2014
49 WAUWAWA BAADA YA NDEGE YA UKRANE KUTUNGULIWA
By Blog Hi5 at 9:14 PM
No comments
Related Posts:
POLISI ABAKA MWANAFUNZI Mwanafunzi wa kidato cha tatu, juzi alimkaanga askari polisi anayedaiwa kumbaka kwa kuieleza Mahakama jinsi alivyotendewa kitendo hicho katika kibanda cha ulinzi cha benki. Akitoa ushahidi mbele ya Hakimu wa Mahakama y… Read More
Mkataba wa LugumiHii hapa ni taarifa ya Utekelezaji Ya Kamati Ndogo ya PAC Kuhusu Mkataba wa Lugumi … Read More
MALI ZA PRINCE ZAHITAJI USIMAMIZI Nyota wa muziki wa Pop Prince hakuwacha wasia ,dadaake amefichua katika stakhabadhi za mahakama. Nakala zilizowasilishwa katika mahakama ya jimbo la Minnesota zinaonyesha,Tyka Nelson ametoa ombi la mtu atakayesimamia mal… Read More
NAPE KUDILI NA MAJIPU KWENYE SANAA Waziri wa Habari,Utamaduni,sanaa na michezo nchini,Nape Nnauye ametaja mambo manne ambayo ni vikwazo ndani ya sekta ya sanaa ya filamu nchini na kuyaita kwamba ni majipu huku akisisistiza kwamba serikali itakwenda kutunga s… Read More
TAKUKURU Kuchunguza Mabilioni ya Kikwete ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (Takukuru), imeanza kuchunguza fedha za uwezeshaji maarufu kama ‘Mabilioni ya JK’ ambazo hazikurejeshwa na wakopaji nchi nzima. Msemaji wa Takukuru, Tunu Mleli alisema jan… Read More
0 comments:
Post a Comment