Wanasema kwenye miti hakuna wajenzi… ila pori hili
limepata watumizi wazuri wa miti namaanisha wasanii na matumizi ya mtandao hapo
mwanzo muvi wakati lina anza wasanii hawakuwa very in touch with internet uses
espercial izi social networks like YouTube, iTunes, even Instagram, WhattApp,
Facebook and the rest kwa ajili ya kuutangaza muziki wao. Supper Handsome Mr.
Ommy Dimpoz aonyesha mfano kwa wasanii wenzie jinsi ya kutumia mtandao na
kuchana kati mipaka ya mbali. Ngoma yake ambayo inafanya vizuri sana sasa
katika media mbalimbali za hapa nchini na hata abroad huko, NDAGUSHIMA iliyo
mulikwa huko UK(United Kingdom) chini ya mkono wake the director himself Mr. Moe Musa na kupata nafasi ya kufanyiwa
lounching kwa MTV Africa. Ukisikiliza mziki wa sasa umeeleka sana huko Nigeria
japo twisting is good but what about the Tz Identint.
Wednesday, July 9, 2014
MTV BASE NA OMMY DIMPOZ SUPER HANDSOME
By Blog Hi5 at 5:56 AM
No comments
Related Posts:
PICHA ZA UTUPU MTANDAONI NA MABINTI WAKITANZANIA Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
STORI YA SNURA WA MAJANGA Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 … Read More
MTV BASE NA OMMY DIMPOZ SUPER HANDSOME Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE MicrosoftInternetExplorer4 … Read More
WEUSI "OUR TRADITION IS HIP HOP" Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
DIAMOND PLATNUM, WEMA SEPETU WAJIANIKA WAKIWA UTUPU Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
0 comments:
Post a Comment