Friday, August 22, 2014

BOKO HARAM WATEKA CHUO CHA POLISI



Boko Haram wazidi kumlaza macho Raisi Jonathan Moyo


 
Kundi la wapiganaji la kiislam la Boko Haram,wamevamia shule moja ya mafunzo ya kipolisi kilichoko kwenye kitongoji cha Gwoza karibu na mpaka wa nchi ya Cameroon ambacho hufundisha maofisa wa Polisi nchini Nigeria.
Kikundi hicho cha Boko Haram pia kinasemekana kuudhibiti mji wa jirani na Gwoza uitwao Buni Yadi, shirika la kutetea haki za binadamu la Human Rights Watch wametoa takwimu ya vifo vilivyosababishwa na kundi hilo kuua watu zaidi ya elfu kumi mpaka sasa tangu walipoanzisha harakati za kutaka upande wa kaskazini mwa Nigeria uwe chini ya utawala wa Kiislam.

Related Posts:

  • MAKUBALIANO YA SYRIA MATATANIRais Barack Obama wa Marekani pamoja na mjumbe wa Umoja wa mataifa nchini Syria Staffan Di Mistura wamesema kuwa wanahofia kwamba makubaliano ya Syria huenda yakaanguka. Katika ghasia za hivi karibuni,watu 18 wamefariki kufua… Read More
  • MADAWA HARAMU, E.P.LSerikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi wa dharura kufuatia ufichuzi kuwa wachezaji nyota wa kandanda nchini Uingereza wamekuwa wakitumia madawa yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini. Gazeti la Sunday Times limech… Read More
  • BOMBA LA MAFUTA KUPATA UAMUZI MWISHONI MWA WIKIViongozi wa Kenya, Uganda na Tanzania mwishoni mwa wiki wanatarajiwa kutoa uamuzi wa mwisho kuhusu ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi kutoka Uganda na Kenya hadi pwani. Mwaka jana, Kenya na Uganda zilikuwa zinashauri… Read More
  • WAPENZI JINSIA MOJA WATAHADHARISHWA UKSerikali ya Uingereza imewaonya wapenzi wa jinsia moja wanaosafiri kuelekea Marekani kutokana na sheria dhidi yao katika majimbo ya North Carolina and Mississippi. Marekani ni jamii kubwa ilio na maoni tofauti.Sheria mpya zil… Read More
  • SERIKALI YAPONGEZWA NA SHIRIKISHO LA WAFANYAKAZI ZANZIBARSHIRIKISHO la Vyama Huru vya Wafanyakazi Zanzibar (ZATUC) limeelezea kuridhishwa na juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya kutekeleza mapendekezo yake, ikiwemo kuundwa kwa chombo cha majadiliano kitaif… Read More

0 comments:

Post a Comment