Friday, March 20, 2015

UJUMBE WA WhatsApp WASABABISHA TALAKA

Mwanamume mmoja nchini Saudia amempa talaka mkewe kutokana na ujumbe wake katika mtandao wa WhatsApp. Kulingana na gazeti moja la kiharibu Al Hayat, mwanamume huyo amedai kwamba mkewe aliandika ujumbe unaosema ''naomba kuwa na subra ya kutosha ili kuweza kuishi na wewe''.

''Nilimpigia mmoja ya ndugu zangu kumuuliza iwapo ujumbe ule ulikuwa unanilenga mimi'', alisema mwanamume huyo.Watu wa Familia yangu walithibitisha hilo na nilisikia aibu kubwa kwamba mabibi za marafiki zangu pamoja na watu wa familia yangu wanaona ninaaibishwa.Hata sielewi alikuwa akimaanisha nini''.Amesema kuwa ndo yake ilikuwa taabani na kwamba kitendo hicho hakikustahili kufanyika.Si mara ya kwanza amenichafulia jina katika mtandao wa kijamii.Niliamua kumpa talaka kabla ya kuyatamgaza maisha yangu katika mitandao ya kijamii.'',
Khalid Al Habibi ,naibu mkurugenzi wa kituo cha kijamii kinachojihusisha na watoto mayatima anasema kuwa mitandao ya kijamii ni chanzo kikuu cha talaka.

Related Posts:

  • Serikali ya China kudhibiti dini Chama cha kikoministi cha China kimepewa mamlaka ya kudhibiti dini nchini humo. Kiongozi wa Uchina, Xi Jinping, amesema makundi ya kidini lazima yakubali kudhibitiwa na chama cha kikoministi. Akizungumza katika mkutano wa s… Read More
  • Serikali ya China kudhibiti dini Chama cha kikoministi cha China kimepewa mamlaka ya kudhibiti dini nchini humo. Kiongozi wa Uchina, Xi Jinping, amesema makundi ya kidini lazima yakubali kudhibitiwa na chama cha kikoministi. Akizungumza katika mkutano wa s… Read More
  • NAPE KUDILI NA MAJIPU KWENYE SANAA Waziri wa Habari,Utamaduni,sanaa na michezo nchini,Nape Nnauye ametaja mambo manne ambayo ni vikwazo ndani ya sekta ya sanaa ya filamu nchini na kuyaita kwamba ni majipu huku akisisistiza kwamba serikali itakwenda kutunga s… Read More
  • Mkataba wa LugumiHii hapa ni taarifa ya Utekelezaji Ya Kamati Ndogo ya PAC Kuhusu Mkataba wa Lugumi … Read More
  • KIZIMBANI KWA KUHIFADHI WAHAMIAJI HARAMU Waziri wa Mambo ya Ndani, Charles Kitwanga. MWENYEKITI wa Halmashauri ya Wilaya ya Kibondo, Simon Kagoli amefikishwa mahakamani kwa kosa la kuhifadhi wahamiaji haramu nyumbani kwake na kuwatumikisha mashambani. Kagoli ambay… Read More

0 comments:

Post a Comment