Serkari
ya Tanzania kupitia TCRA ikiwa inapinga vikali matumizi mabovu ya mitanao ya kijamii
bado watumiaji wanazidi kuanika picha za utupu kila kukicha. Sasa si wanavyuo
tu hadi katika maofisi makubwa na taasisi mbalimbali za kijamii zinazopewa
heshima kubwa. Imekuwa kawaida kwa vijana na kusema ni ulimbukeni haya sasa
hadi watu wazima wameamua kupanda basi hili la picha za utupa na kusafiri
pamoja na kizazi cha instagram, watsapp na facebook.
Sunday, July 6, 2014
PICHA ZA UTUPU! TCRA KAZI IMEWASHINDA
Related Posts:
MAPANGO YA AMBONI TANGA NA Hi5 MAKALA Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
AFISI ZA NFF ABUJA ZATEKETEA Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
JAY DEE KOMANDO ATOLEA UVIVU MAGAZETI YA UDAKU Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
WAUAJI WA FORLEY MAREKANI YAWASAKA. Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
BONGO MUVIE: KINARA MPYA SOKONI Normal 0 false false false EN-US X-NONE X-NONE … Read More
Kiujumla Kwa sasa Dunia imekwisha
ReplyDelete