• This is Slide 1 Title

    This is slide 1 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

  • This is Slide 2 Title

    This is slide 2 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

  • This is Slide 3 Title

    This is slide 3 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

Wednesday, July 9, 2014

PICHA ZA UTUPU MTANDAONI NA MABINTI WAKITANZANIA


Hivi ndivyo jamii ya kitanzania inavyo jilea maika ya sasa huku shutuma nyingi zikielekezwa katika matumizi mabaya ya mitandao ya kijamii pasi na kuchunguza nini chanzo ama sababu kubwa inayo pelekea jamii yetu yakitanzania kusahau maadili yetu. Tuanze na kujiuliza hivi ni kwanini maadili yana momonyoka kila leo, zamani enzi za mababu zetu si kwamba hakukuwa na maadili mabovu lakini kulingana na kwamba utandawazi umeifanya dunia kuwa kijiji mengi yanayofanyika kwa siri sasa hayana sehemu yakufichwa. Moja kati ya jinsia inayo jaliwa sana karibu kwa kila sekta ni jinsia ya kike na si kwa Tanzania tu hii ni sera ya dunia nzima lakini dada zetu ama mabinti wa kiafrika hususani wakitanzania wamekuwa wakijishusha hadhi na heshiama wanazopewa katika jamii kwa mambo wanayo fanya sasa, kabla hatuja anza kugusia yanayo endelea kwenye mitandao sasa mpendwa msomaji wangu nikujuze jambo moja kwanza, kabla ya hata mabinti hawa wachache kuanza kutupia ndani zao nje walianza na mavazi yasiyo stahili ambayo yanaweka karibu robo tatu ya mwili nje sasa kila jambo huanza likiwa dogo tukaanza kuona post mbalimbali za picha zao za wilu (utupu) zikiwa hadharini eti zimeliki wengine wapenzi wao wamezitoa kisa wameachana mpaka sasa wana amua wenyewe kujipiga na kuziweka kwenye mtandao.

DIAMOND PLATNUM, WEMA SEPETU WAJIANIKA WAKIWA UTUPU



Bongo sasa kama mbele yale tunayoyaona kwa tv yanakuwa live hivi ndinyo msanii wa kizazi kipya cha bongo fleva hapa Tanzania Diamod Platnam na mpenziwe Wema Sepetu wakijiachia kwa jakuzi nje nje bila kujua wanatizamwa na wengi kama kioo cha jamii, haya wanowafwata wajifunze nini ikiwa walio mbele yao wanaweka ndani zao nje pasi na kujua heshima yao katika jamii ina impact kubwa.

WEUSI "OUR TRADITION IS HIP HOP"



Weusi means Black, Black means Africa, Africa means Tradition and our Tradition is “Hip Hop” that is how Weusi Family open the bracket what do they mean by Weusi. It is one among a greatest Hip Hop crew in Tanzania which now days are doing well in this kind of music with their creativity and efforts they add, Weusi family is formed by five most legendary Hip Hop artist here in Tanzania where by there is Nick wa pili alongside his brother Joh Makini, Bonta the Conscious as a C.E.O of the crew , Lord Eyes and the A City Finast kankara of AR G-Nako himself, remind you that Weusi is a combination of two hip hop groups found in Arusha where hiphpo leaves one is Nacko 2 Nacko and second is River Camp Soldier in order to make sure that Music Industry is mantained well, “A flea doesn’t die with one finger” and that is why  these guys come up with one best idea to conquer and master the game. Weusi came famous after releas the single called Nje ya Box and now is Gere which is produced by Naril take you back Weusi do a lot of single before like  Bei ya Mkaa, Bum kubah, Sitaki Kazi, I see me where even if are solo projects they dedicate them to Weusi family, Hiphop is reality and the reality of lifestyle makes hiphop be real.

WEUSI JOH MAKINI, NIKI WA PILI & G NAKO- NJE YA BOX OFFICIAL VIDEO



CHISS ANGLE- THE MIND FREAK AKIFANYA YAKE


Hi5 ANZISHA TODAY's CUTE GIRL-SHILOLE


SHILOLE- NAKOMAA NA JIJI OFFICIAL VIDEO


STORI YA SNURA WA MAJANGA


Snura Mushi ni binti mwenye vipaji vingi ndani ya tasnia ya bongo movies. Pamoja na kuwa mwigizaji aliyekuja kwa kasi sana pia Snura ni mwanamuziki wa bongo fleva anayefanya vizuri sana sokoni kwa nyimbo zake mbalimbali zenye mahadhi ya pwani mithili ya mduara. Pamoja na kuwa na umbo na sura nzuri ya kuvutia snura pia amekuwa akitawala sana vichwa vingi vya habari,magazeti na redio kutokana na uwezo wake mkubwa wa kukata kiuno kwenye nyimbo zake.
Snura Mushi (Jina lake halisi) alizaliwa tarehe kumi na mbili (12) mwezi wa kwanza (1) mwaka 1984 Jijini Dar es salaam ambako aliweza kukua na kupata elimu yake hapo hapo Dar es salaam.


SNURA-MAJANGA OFFICIAL VIDEO


MTV BASE NA OMMY DIMPOZ SUPER HANDSOME



Wanasema kwenye miti hakuna wajenzi… ila pori hili limepata watumizi wazuri wa miti namaanisha wasanii na matumizi ya mtandao hapo mwanzo muvi wakati lina anza wasanii hawakuwa very in touch with internet uses espercial izi social networks like YouTube, iTunes, even Instagram, WhattApp, Facebook and the rest kwa ajili ya kuutangaza muziki wao. Supper Handsome Mr. Ommy Dimpoz aonyesha mfano kwa wasanii wenzie jinsi ya kutumia mtandao na kuchana kati mipaka ya mbali. Ngoma yake ambayo inafanya vizuri sana sasa katika media mbalimbali za hapa nchini na hata abroad huko, NDAGUSHIMA iliyo mulikwa huko UK(United Kingdom) chini ya mkono wake the director himself  Mr. Moe Musa na kupata nafasi ya kufanyiwa lounching kwa MTV Africa. Ukisikiliza mziki wa sasa umeeleka sana huko Nigeria japo twisting is good but what about the Tz Identint.

MTV AFRICA KUTAMBULISHA VIDIO MPYA YA OMMY DIMPOZ-NDAKUSHIMA


ILIYO MTOA MO MUSIC-BASI NENDA VIDEO CHINI YA KIWANGO



Game ya bongo inazidi kwenda next level kila kukicha wasanii wapya wanaibuka ama kutoka kama wao wenyewe wanavyo sema, wa kuitwa Mo Music Hit maker wa Basi Nenda aiteka hadhira kwa ngoma yake iliyo mpa umaarufu sana na show za kutosha nchini hivi karibuni. Kwa upande wa Audio mtayarishaji ame play part yake vyema na kumuweka kijana katika nafasi nzuri kimuziki lakini kwa upande wa video si kama tunavyo mjua Adam Juma, ipo haja ya kuwatizamia hawa wasanii wadogo wanapokuja na ngoma zao kali kufanya video  kabla hawajatoka maana wasanii wakubwa wanamiliki video kaliii laki Audio zao mbovu.. Wasanii wadogo wanapitia magumu mengi ikiwemo na kudharaulika kwa kazi wanazofana hadi wao wenyewe kulingana na dhamira iliyo jijenga kwa watayarishaji wengi wa Audio na Video pia kuamini kwamba masanii mpya asiyejulikana hana effect hata akitolewa kazi mbovu ubaya huja kwa watayarishaji wa video mbali na kujiharibia wanasababisha wasanii kuonekana hawajali kazi zao na watayarishaji huishia kusema undergound hawana mtonyo wa kutosha kufanya vichupa vikali.

MO MUSIC-BASI NENDA OFFICIAL VIDEO