• This is Slide 1 Title

    This is slide 1 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

  • This is Slide 2 Title

    This is slide 2 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

  • This is Slide 3 Title

    This is slide 3 description. Go to Edit HTML and replace these sentences with your own words. This is a Blogger template by Lasantha - PremiumBloggerTemplates.com...

Sunday, July 6, 2014

ANZISHAAAAAAAAA


Hi5 MEDIA VISUAL RADIO JINGLE


Hi5 VISUAL ADVERT


MEDEE AFUNGUKA NA UJIO WAKE MPYA


BAADA ya kupata maendeleo kutokana na kazi za muziki msanii wa muziki wa kizazi kipya nchini kutoka kwenye kundi la Tip Top Connection Madee yupo katika maandalizi ya mwisho ya kuachia albamu yake ya pili ambayo ya kwanza ilitoka miaka 7 iliyopita.
Ambapo alionekana kusita kutoa albamu kwa kipindi hicho kutokana na kile wanachokiita mfumo mbovu wa usambazaji pamoja na mauzo ya albamu hiyo hali inayowapelekea baadhi ya wasanii kutoa vilio vya kupata hasara pindi wanapotoa albamu zao.
Baada ya kujikita kwenye maendeleo yanayotokana na kazi ya muziki, Madee amepanga kuachia albam yake mpya October mwaka huu ikiwa ni albam ya kwanza kutoka kwake tangu aachie albam yake ya mwisho miaka saba ilioyopita.
Akizungumza jijini Hi5 Media, Madee amesema kuwa hivi sasa anaona umuhimu wa kutoa albam kwa sababu ameona licha kutopata fedha za kutosha kwenye biashara hiyo, kuacha kutoa albam ni kama kumnyima haki shabiki wake.
“Mimi mwenyewe zaidi nina mangoma kama 50 ambayo haujayasikia yako tu ndani hayana mpango wowote. Lakini unafikiria utatoa albam utapata nini. Lakini pia unakuta unamzulumu yule shabiki wako ambaye yuko mbali anataka kusikiliza ngoma za Madee, anataka kushika albam ya Madee. Lakini anakuwa hapati kwa sababu umesitisha kutoa albam.” Amesema Madee.
Amesema hata msanii anapoenda katika bara la Ulaya kutangaza muziki wake haulizwi idadi ya nyimbo alizotoa bali idadi ya albam alizotoa.

PICHA ZA UTUPU! TCRA KAZI IMEWASHINDA



Serkari ya Tanzania kupitia TCRA ikiwa inapinga vikali matumizi mabovu ya mitanao ya kijamii bado watumiaji wanazidi kuanika picha za utupu kila kukicha. Sasa si wanavyuo tu hadi katika maofisi makubwa na taasisi mbalimbali za kijamii zinazopewa heshima kubwa. Imekuwa kawaida kwa vijana na kusema ni ulimbukeni haya sasa hadi watu wazima wameamua kupanda basi hili la picha za utupa na kusafiri pamoja na kizazi cha instagram, watsapp na facebook.

NEW: BLOGGER AIFUNGUKIA Hi5 MEDIA



Toka kuanzishwa kwa Hi5 Media mpaka sasa inajivunia kuwa na maendeleo machache kwa kiasi chake, they say kila mwanzo difficulties lazima ziwepo even thought kukata tama si moja kati ya vitu vinavyopewa kipaumbele ndani na nje ya Hi5 Media. Kila wazo huja ikiwa dogo lenye udhaifu mwingia just like a child anaye zaiwa huitaji handleling ya hali ya juu ukilinganisha na mtu mzima the same thing kuja kwa wazo la Hi5 Media, kuunda media yenye mfumo wa kutangaza kwa njia ya mtandandao si jambo dogo akini kadri siku zinavyozidi kwenda na uwezo wa kutafakari na kupembua mambo pia unaongezka.