Thursday, April 2, 2015

FRIDAY, PRINCE TOUZ KATIKA MAANDALIZI YA KICHUPA CHA MA LOVE DOVE

Wiki chache kupita baada ya moja ya muandishi wetu kutoka Hi5 Media huko Dodoma kufanikiwa kuwepo onset wakati Friday na Prince Touz wakiwa wanamulika kichupa cha Ma Love Dove alitujuza kuwa video hiyo itakuwa na ubora wa hali ya juu kulingana na maandalizi waliyoyafanya wasanii hao wawili.
Kushoto Friday kati Video Queen  Kulia Prince Touz               
Kwa mujibu wa muandishi wetu baada ya kufanya mahojiano na Prince Touz, "Kazi ni moja tu kuhakikisha mziki wetu unakwenda mbali zaidi na pia ni mda mrefu sana tulikuwa kimya sasa  ni Return of Friday na P Tanzania" alisema Prince Touz.
Prince Touz a.k.a Prince Tanzania akiwa kwa pouz
Friday moja kati ya Artist wanao fanya vizuri katika muziki wa Bongo Fleiva sio tu DomTown even Tz mwenye radha ya pekee ila kwa mbali kama Bele flani ivi na ndie aliye pita zile radha flani za kuimba iv.....
Kulia Friday akiwa na moja kati ya wahusika katika Video
 Naam wadau wa muziki mkae tayari kupokea ujio mpya wa Friday na Prince Touz na huyu ndiye V.Q yaani Video Queen wa nyimbo ya Ma Love Dove
http://www.hulkshare.com/hi5music/friday-ft-prince-touz-ma-love-dove
Bofya hapa kusikiliza na kudownload nyimbo ya Ma Love Dove_Friday ft. Prince Touz

0 comments:

Post a Comment