Thursday, March 26, 2015

TAMASHA LA MUZIKI KENYA



Nchini Kenya, ni wakati wa tamasha la sanaa ambapo shule na vyuo vinashindana.
Maelfu ya wanafunzi hukusanyika kuonesha vipaji vyao katika sanaa za utamaduni.
Muhimu tu washinde tuzo. Na si rahisi kwani wavulana ni wasichana na wasichana ni wavulana.

0 comments:

Post a Comment