Thursday, November 13, 2014

JXJ AKIFANYA YAKE KATIKA JUKWAA LA KONGWA AFRIKA PAMOJA PROJECT

Moja kati masaani wa Muziki wa Kizazi kipya anayefanya vizuri katika kazi zake ambaye yuko chini ya lebo ya DomTown Records JX, hapo akiwa anafanya yake katika show iliyo andaliwa na kampuni ya Akonshaz Music ndani ya kitengo cha Muziki chini ya project ya Afrka Pamoja

0 comments:

Post a Comment