Monday, October 13, 2014

NEW BONGO MUVIE NA UJIO WA VISUALIZED EFX


Kutoka Visualized EFX, siku chache zilizopita walikuwa location wakifanya mazoezi ya kushuti falamu mpya inayohusu maisha ya kijana aliye rithishwa uchawi kimakosa kulingana na jinsi anavyo utumia katika mazingira anayoishi. Bloger wetu alipata nafasi ya kwenda kushuhudia zoezi hilo na pia aliongea na uongozi ambao haukuwa tayari kuzungumza chochote juu ya filamu hiyo kwa kuwa ndio kwanza ipo katika maandalizi na kusema chochote  itakuwa mapema kuwajulisha wadau wa VEFX. Pia waliongezea kwa kusema wanahita kufanya vitu tofauti na ndio maana wanachukua muda mrefu kuandaa kazi zao mbali na hilo uchache wa vifaa wanavyo hitaji kufanyia kazi. 


Moja kati ya assistance director pia ndiye mtunzi filamu za Visualized EFX Mr. Jackson a.k.a Jackcty alizungumza machache kuhusu kazi zinazo kuja mbeleni kuwa kuna kipindi kinafanyiwa final editing then soon kitakuwa kwa mtandao pia wadau wafahamu ya kuwa kampuni haina kazi moja tu ya kuandaa filamu ni pamoja kushuti vipindi, matangazo ya pamoja na event mbalimbali kwahiyo  wadau wajiandae kupokea mengi kutoka VEFX.


“Tasnia ya Bongo movie ina changamoto nyingi kama Visualized EFX tunaandaa wasanii ambao watakuwa chini ya kampuni ya VEFX ambayo ni tawi la Akonshaz Music Co, na mara nyingi tunapenda kuandaa kazi zetu kwa wasanii ambao wako na malengo na ndio maana mpaka sasa ziko demo tu ambazo hivi karibuni mtazipata katika chombo cha habari cha Hi5 Media”hayo yalikuwa ni maneno yake mkuu wa kitengo kutaka Visualized EFX.


 

Related Posts:

  • MAKUBALIANO YA SYRIA MATATANIRais Barack Obama wa Marekani pamoja na mjumbe wa Umoja wa mataifa nchini Syria Staffan Di Mistura wamesema kuwa wanahofia kwamba makubaliano ya Syria huenda yakaanguka. Katika ghasia za hivi karibuni,watu 18 wamefariki kufua… Read More
  • CANADA KUMTIA KIZUIZINI MWANAFUNZI WA SUDAN KUSINIWakuu wa Canada wanasema wamemuweka kizuizini mwanafunzi wa shule ya sekondari kutoka Sudan Kusini, kwa sababu wanaamini ana umri wa miaka 29 na siyo 16, kama aliyvodai alipoingia nchini. Jonathan Nicola anasemekana alikuwa m… Read More
  • SERIKALI YAPONGEZWA NA SHIRIKISHO LA WAFANYAKAZI ZANZIBARSHIRIKISHO la Vyama Huru vya Wafanyakazi Zanzibar (ZATUC) limeelezea kuridhishwa na juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya kutekeleza mapendekezo yake, ikiwemo kuundwa kwa chombo cha majadiliano kitaif… Read More
  • BOMBA LA MAFUTA KUPATA UAMUZI MWISHONI MWA WIKIViongozi wa Kenya, Uganda na Tanzania mwishoni mwa wiki wanatarajiwa kutoa uamuzi wa mwisho kuhusu ujenzi wa bomba la kusafirisha mafuta ghafi kutoka Uganda na Kenya hadi pwani. Mwaka jana, Kenya na Uganda zilikuwa zinashauri… Read More
  • MADAWA HARAMU, E.P.LSerikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi wa dharura kufuatia ufichuzi kuwa wachezaji nyota wa kandanda nchini Uingereza wamekuwa wakitumia madawa yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini. Gazeti la Sunday Times limech… Read More

0 comments:

Post a Comment