Tuesday, October 21, 2014

DIAMOND PLATNUM SERENGETI FIESTA FULL SHOW

Anayepeta kwa Ubunifu na umahiri katika tungo zake za nyimbo mbalimbali ambaye kwa sasa anamekuwa nominated kunyang'anyia tuzo ya msanii bora wa Afrika pamoja na East Africa ndani ya MTV akiwa katika safu moja na mtu mzima Davido wa Nigeria. Tuamke watanzania na kumpigia kura msanii wetu aweze kuiwakilisha Tanzania vyema huko kunako MTV.

Related Posts:

  • MADAWA HARAMU, E.P.LSerikali ya Uingereza imeanzisha uchunguzi wa dharura kufuatia ufichuzi kuwa wachezaji nyota wa kandanda nchini Uingereza wamekuwa wakitumia madawa yaliyopigwa marufuku ya kuongeza nguvu mwilini. Gazeti la Sunday Times limech… Read More
  • WAPENZI JINSIA MOJA WATAHADHARISHWA UKSerikali ya Uingereza imewaonya wapenzi wa jinsia moja wanaosafiri kuelekea Marekani kutokana na sheria dhidi yao katika majimbo ya North Carolina and Mississippi. Marekani ni jamii kubwa ilio na maoni tofauti.Sheria mpya zil… Read More
  • KANYE ASHTAKIWA KWA ULAGHAIShabiki mmoja ameamua kumshtaki nyota wa muziki wa Rap Kanye West pamoja na huduma ya muziki ya Tidal kuhusu kutolewa kwa albamu mpya ya mwanamuziki huyo,The life of Pablo. Justin Baker-Rhett anadai alidanganywa kutia saini n… Read More
  • REFA MAREHEMU KUAMUA MECHIMwanamume aliyefariki ameteuliwa kusimamia mechi ya soka nchini Nigeria ambayo itachezwa Jumapili, mwandishi wa BBC anayefuatilia masuala ya soka Oluwashina Okeleji anasema. Wale Akinsanya aliteuliwa kuwa mwamuzi kwenye mechi… Read More
  • SERIKALI YAPONGEZWA NA SHIRIKISHO LA WAFANYAKAZI ZANZIBARSHIRIKISHO la Vyama Huru vya Wafanyakazi Zanzibar (ZATUC) limeelezea kuridhishwa na juhudi zinazochukuliwa na Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar ya kutekeleza mapendekezo yake, ikiwemo kuundwa kwa chombo cha majadiliano kitaif… Read More

0 comments:

Post a Comment